Saturday, February 1, 2014

mbunge wa longido, Lekule Laizer akieleza kutoridhishwa na kasi ya matengenezo ya barabara mkoa wa Arusha katika kikao cha bodi ya barabara mkoa arusha

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitua Kiteto kutatua mgogoro wa ardhi wilayani Kiteto